Agiza LIPA unapopokea MZIGO

FREE DELIVERY KWA ORDER INAYOZIDI 50,000+ TZS 

thanks for shop with us

0
Shopping cart
Shopping cart is empty

FAQ

Sunday 20 April 2025, at 05:40

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara (FAQ)


1. Mnauza bidhaa gani?


Tunauza vifaa vya ofisini, vifaa vya magari (car accessories), na vifaa vya kielektroniki kama power banks, waya za chaji, na vifaa vingine vya kisasa.


2. Mnafanya usafirishaji hadi mikoa yote?


Ndiyo! Tunatoa huduma ya usafirishaji kwa wateja waliopo Tanzania nzima kupitia kampuni yetu ya Kago Express.


3. Namna gani naweza kufanya oda?


Unaweza kuagiza kwa:

WhatsApp: +255 693 463777


Au DM kupitia Instagram au Facebook


4. Malipo hufanyika lini na kwa njia gani?


Malipo hufanyika kabla ya kusafirisha bidhaa, kupitia:

M-Pesa LIPA NAMBA

Lipa Namba 59051473

Jina SOKOSHOPY STORE


Kwa baadhi ya miji, tunaruhusu Malipo baada ya Kupokea Mzigo (Cash on Delivery).


5. Nitapokea bidhaa yangu baada ya muda gani?


Kwa kawaida, tunafikisha bidhaa ndani ya saa 24 tu kutegemea na mahali ulipo.


6. Je, bidhaa nikipokea ikiwa imeharibika au si sahihi nifanyeje?


Tafadhali wasiliana nasi ndani ya masaa 24 baada ya kupokea.


7. Naweza kurejesha bidhaa?


Ndiyo, bidhaa zinaweza kurejeshwa ndani ya siku 1 ikiwa hazijatumika na ziko katika hali nzuri. Gharama za kurudisha mzigo zitalipwa na mteja.